Tanzania:: Human remains found around Prison premises

MABAKI ya mwili  wa mwanamke  anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 hadi 30 ambaye jina lake halikufahamika, yamekutwa  eneo la Magereza, Kata  ya Miyomboni Kitanzini, Manispaa ya  Iringa.
Polisi wakikusanya mabaki ya mwanamke huyo.
Mabaki hayo  yalikutwa majira ya saa 6:00 mchana, juzikati yakiwa yamesambaratika kutokana na kuoza.

 Walioyakuta ni maofisa wa magereza ambao walikuwa katika  eneo hilo na wafungwa  wakikata miti kwa ajili ya  kuni.

Wakizungumza na Amani, baadhi…
Na Francis Godwin, Iringa
MABAKI ya mwili  wa mwanamke  anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 hadi 30 ambaye jina lake halikufahamika, yamekutwa  eneo la Magereza, Kata  ya Miyomboni Kitanzini, Manispaa ya  Iringa.
Share this article :

Post a Comment

 
Support : | |
Copyright © 2011. JAMII MIXER - All Rights Reserved
Published by S.M