MABAKI ya mwili wa mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25
hadi 30 ambaye jina lake halikufahamika, yamekutwa eneo la Magereza,
Kata ya Miyomboni Kitanzini, Manispaa ya Iringa.
Mabaki hayo yalikutwa majira ya saa 6:00 mchana, juzikati yakiwa yamesambaratika kutokana na kuoza.
Walioyakuta ni maofisa wa magereza ambao walikuwa katika eneo hilo na wafungwa wakikata miti kwa ajili ya kuni.
Wakizungumza na Amani, baadhi…
Na Francis Godwin, Iringa
MABAKI ya mwili wa mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 hadi 30 ambaye jina lake halikufahamika, yamekutwa eneo la Magereza, Kata ya Miyomboni Kitanzini, Manispaa ya Iringa.
Mabaki hayo yalikutwa majira ya saa 6:00 mchana, juzikati yakiwa yamesambaratika kutokana na kuoza.
Walioyakuta ni maofisa wa magereza ambao walikuwa katika eneo hilo na wafungwa wakikata miti kwa ajili ya kuni.
Wakizungumza na Amani, baadhi…
MABAKI ya mwili wa mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 hadi 30 ambaye jina lake halikufahamika, yamekutwa eneo la Magereza, Kata ya Miyomboni Kitanzini, Manispaa ya Iringa.
Post a Comment