Bomb attack at Catholic church in Arusha, Tanzania


HABARI KAMILI KUHUSIANA NA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA..
 One of those injured in Bombing receiving First Aid
 the new church where the bombing occured

 taped white tape, the location where the bomb was thrown





Leo asubuhi jiji la arusha lilipata mshtuko mkubwa na simanzi nzito baada ya kutokea kwamlipuko wa mabomu uliotokea katika kanisa la kikatoliki huko olasisti nakupelekea vifo na majeruhi kwa baadhi ya waumini waliohudhuria katika sherehe ya ufunhuzi wa kanisa.. 
CHANZO..
Haya nimaelezo ya kijana aliyedai kuwa alishuhudia tukio hilo.
Kijana huyo(chini pichani aliyevalia tisheti ya njano) ametueleza kwamba bomu hilo lilirushwa na kijana mmoja ambaye kimwonekano alikuwa nikijana wa miaka 20-25. alizidi kueleza kwamba baada ya kijana huyo kurusha bomu alikimbia huku akiita MWIZI MWIZI MWIZI..
KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA..
Kwabahati nzuri tulipata maelezo kutoka kwakijana ambaye alishirikiana na wananchi wengine kumkimbiza mtuhumiwa kutoka olasiti hadi katika kijiji kiitwacho ndorobo.. kijana huyo(mtizame mwisho kabisa katika post hii) alizidi kutueleza ya kuwa mtuhumiwa alikimbia kisha alijilaza katika miwa ila walisaidia na mbwa waliokuwa wakimkimbiza mtuhumiwa huyo.. mara baada ya kumkamata walimkuta akiwa na mfuko wenye bomu zilizobakia.. dakika chache wananchi wenye hasira kali walifika eneo alipokamatiwa mtuhumiwa huyo wakiwa na silaha kali za jadi wakitaka kumuua kijana huyo ndipo polisi waliokuwa wakisaidia na wananchi hao walifika eneo lile nakumchukua mtuhumiwa huyo.. 
Waaliojeruhiwa ni pamoja
na Consensia Mbaga(53) Christopher
Raymond (10),Deborah Joachim(24)
Elizabeth Isdori(24),Anna Didas(52),
Bertha Cosinery(49),Edda Ndowo(77)
,Derick Cyprian(8),Faustine Andrea
(35),Mary okech,Neema Daud(13).
Watu wengine ni Mesoit Siriri (33)
,Clenes pius(22),Joyce yohana (15)
,Restuta Alex(50), Mathias Riha (74),
Magreth Andrew(45), James Gabriel
(16), Regina James (17), Elizabeth
Masawe(15), Elizabeth Sauli(18), Njau
(35),Yasinta Msafiri (160 na Doreen
Pancras(28). Idadi wajeruhi wengine
ni Alex Arnold,Agripina Alex(9),James
Gabriel(16),loveness nelson (17)
,Amalone Pius(25),Frank Donatus (10)
,Alphonce Nyalandu (26),Athanasia
Reginald (14),Phillemon Ceressa(49)
,Neema Daud(13)Sophia Kanda(72)
,Theofrida Inocent(21), na Regina
Darnes(17).
Share this article :

Post a Comment

 
Support : | |
Copyright © 2011. JAMII MIXER - All Rights Reserved
Published by S.M